July 28, 2015

 
FALCAO AKIPAMBANA NA BEKI CAHILL WAKIWA MAZOEZINI...
Kocha Mkuu wa Chelsea, Jose Mourinho atampa mshambuliaji wake mpya Radamel Falcao nafasi ya kuivaa Barcelona kwa dakika 30.


Mourinho amesema Falcao atapata dakika hizo kesho Jumatano wakati wa mechi yao ya kirafiki dhidi ya Barcelona ikiwa ni sehemu ya kumuandaa na kuandaa kikosi chao.



Falcao ametua Chelsea akitokea AS Monaco ambayo ilikuwa imempeleka kwa mkopo katika kikosi cha Manchester United ambako hakuwa na mafanikio makubwa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic