July 28, 2015

Kocha Mkuu wa Manchester United, Louis van Gaal amemuonyesha kipa David de Gea kwamba akizubaa ataishia benchi.


Van Gaal amesema De Gea lazima aonyeshe juhudi kwa kuwa kipa wa timu ya taifa ya Argentina aliyejiunga na Man United, Sergio Romero ana kipaji na mchapakazi.
 
Hata hivyo taarifa zinasema inaonekana bado Man United ina matumaini makubwa ya kumpata beki Sergio Ramos na De Gea aondoke kwenda kujiunga na Real Madrid wakati wa dirisha dogo.

Kama itakuwa hibyo, maana yake Romero atachukua namba moja. Tayari kipa huyo ameanza kujifua na kikosi cha Manchester United.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic