July 15, 2015

  

Shirikisho la Soka la Nigeria, limemteua nahodha wake wa zamani wa timu ya taifa kuwa Kocha Mkuu wa Super eagles.
...AKIWA DORTMUND.
Sunday Oliseh ,40,ndiye amepewa jukumu hilo kwa miaka mitatu amechukua nafasi ya Steven Keshi ambaye amefungashiwa virago.

Oliseh anachukua nafasi hiyo na kuwa mchezaji wa nne wa zamani wa Nigeria kuchukua nafasi hiyo ya kocha mkuu wa timu ya taifa.

Nigeria iko kundi moja na Taifa Stars katika kuwania kucheza Kombe la Mataifa Afrika (Afcon).




Oliseh ni kati ya nyota walioisadia Nigeria kutamba kimataifa, pia alifanya vizuri akiwa Italia akiichezea Ajax ya Uholanzi, Juventus pia Ujerumani akikipiga Dortmund.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic