Kocha mpya
wa Simba, Dylan Kerr ameanza mazoezi ya kukinoa kikosi kipya cha Simba.
Kerr
akisaidiana na Selemani Matola ameanza kukinoa kikosi hicho ikiwa ni siku
chache baada ya kuingia nacho kandarasi ya miaka miwili.
Mwingereza
huyo, hata hivyo ameanza kazi na kikosi chenye vijana wengi zaidi ukiachana na
wakongwe wachache waliokuwawepo kwenye Uwanja wa TCC Chang’ombe jijini Dar es Salaam akiwemo Mussa
Hassan Mgosi.
0 COMMENTS:
Post a Comment