July 21, 2015


Kikosi cha Simba kimeondoka leo mchana kikitumia usafiri wa boti kwenda mjini Zanzibar kuanza kambi


Simba ikiongozwa na Kocha Mkuu, Dylan Kerr na benchi zima la ufundi inaingia kambini Zanzibar baada ya kambi ya kwanza mjini Lushoto.

Simba iliweka kambi kutafuta nguvu, kasi na uimara wa wachezaji.


Sasa inakwenda Zanzibar kwa ajili ya kambi itakayohuisha masuala ya kiufundi zaidi kiuchezaji ikiwa ni pamoja na kucheza mechi za kirafiki.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic