July 21, 2015

WANGA (KUSHOTO) WAKATI AKIITUMIKIA EL MERREIKH AKIPAMBANA NA JEAN BAPTISTE MUNIRANEZA 'MIGI' WAKATI AKIICHEZEA APR. WOTE WAWILI WAMEJIUNGA NA AZAM FC.
Mshambuliaji nyota wa Kenya, Allan Wanga amejiunga na Azam FC.

Wanga amesaini leo mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Azam FC.
Baada ya hapo mshambuliaji huyo wa zamani wa El Merreikh ya Sudan anatarajia kurejea kwao Kenya.

“Anarejea nyumbani Kenya, baada ya hapo atarudi tena Tanzania kuanza kazi rasmi,” kilieleza chanzo cha uhakika.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic