July 18, 2015

Steven Gerrard ameanza kazi vema baada ya kikosi chake kipya cha LA Galaxy kuibuka na ushindi wa mabao 5-2 katika Ligi Kuu ya Soka Marekani maarufu kama Major League.


Pamoja na ushindi huo dhidi ya San Jose Earthquakes, Gerrard alionyesha bado wamo baada ya kufunga bao.

Mkongwe huyo kutoka Liverpool alifunga bao la kusawazisha kabla ya Galaxy kufungua mvua ya mabao na kufunga hadi yalipofikia matano.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic