July 21, 2015


Kiungo wa Juventus, Arturo Vidal yuko mapumzikoni mjini Miami nchini Marekani, lakini amekuwa akiendelea na mazoezi.


Anataka kujiweka fiti huku uhamisho wake kutoka Juventus kwenda Bayern Munich ukiwa katika hatua za mwisho maana mazungumzo yamefika pazuri.

Vidal yuko Miami pamoja na kocha wake wa timu ya taifa  ya Chile, Jorge Sampaoli wakiendelea kula bata, pia wakijifua.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic