August 25, 2015

Gwiji wa zamani wa, Thierry Henry ameshindwa kuficha mapenzi yake kwa kikosi hicho baada ya kumshauri Kocha Arsene Wenger ahakikishe ananunua mshambuliaji.


Henry ameyasema hayo wakati akichambua mechi kati ya Arsenal dhidi ya Liverpool ambayo iliisha kwa sare ya bila mabao.

Kwa sasa Henry ni mchambuzi wa runinga maarufu ya michezo ya Sky ya Uingereza.
 
Alisema anaamini kwa washambuliaji waliopo Arsenal, bado hawana uwezo ambao anaamini wataisaidia Arsenal.

Alisisitiza Arsenal ina wachezaji wengi wazuri lakini wanaonekana kuwa na asili ya viungo.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic