August 25, 2015

 Pamoja na kwamba Liverpool ilionekana haina nafasi katika mechi ya Ligi Kuu england dhidi ya Arsenal, jana. Kipa Petr Cech ndiye anaonekana alikuwa shujaa.


Kwa mujibu wa takwimu za mechi ya jana, kipa huyo mkongwe jana alifanya kazi ya ziada mara kadhaa kuikoa timu yake.

Uchambuzi unaonyesha kama Cech azingekuwa katika kiwango kizuri, basi Arsenal ndiyo ilikuwa katika nafasi mbaya zaidi ya kupoteza mchezo huo.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic