August 2, 2015

 Manchester City imemaliza mechi yake ya mwisho ya maandalizi ya msimu mpya kwa kukutana na kipigo cha mabao 4-2 kutoka kwa wenyeji wake Stuttgart ya Ujerumani.


Katika mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Mercedes Benz Arena vijana wa Manuel Pellegrini wakiwa na mastaa wao kama Raheem Sterling, David Silva na Vincent Kompany lakini hawakuweza kufua dafu dhidi ya kikosi hicho ndani Bundesliga.

Filip Kostic, Daniel Didavi na mabao mawili ya Daniel Ginczek ndiyo waliofunga mabao hayo manne huku City wakifunga kupitia Kelechi Iheanacho na Edin Dzeko.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic