MPIRA UMEKWISHAAAA
Dk 10 za mwisho zinaonekana ni za Mbeya City ambao wanashambulia mfululizo, kipa Agban anafanya kazi ya ziada kuokoa mpira hatua nne kutoka langoni.
Dk 75 hadi 80, Simba angalau wanaonekana kuchangamka na kupeleka mashambulizi kwenye lango la Mbeya Ciy
DAKIKA YA 70
SImba wamemtoa Abdi Banda na nafasi yake kuchukuliwa na Peter Mwalyanzi na Mbeya City wamemtoa Haruna Moshi 'Boban' na nafasi yake kuchukuliwa na Hamad Kibo[ile
Kipindi cha pili kimeanza, Mbeya City ndani ya dakika 15 wanaonekana kushambulia zaidi kuliko Simba. Tayari wanafanikiwa kupata kona mbili. Simba wanakuwa kama wameridhika na bao moja, hawajafanya shambulizi hata moja, lakini wanapoteza muda sana
Dk 10 za mwisho zinaonekana ni za Mbeya City ambao wanashambulia mfululizo, kipa Agban anafanya kazi ya ziada kuokoa mpira hatua nne kutoka langoni.
Dk 75 hadi 80, Simba angalau wanaonekana kuchangamka na kupeleka mashambulizi kwenye lango la Mbeya Ciy
DAKIKA YA 70
SImba wamemtoa Abdi Banda na nafasi yake kuchukuliwa na Peter Mwalyanzi na Mbeya City wamemtoa Haruna Moshi 'Boban' na nafasi yake kuchukuliwa na Hamad Kibo[ile
Kipindi cha pili kimeanza, Mbeya City ndani ya dakika 15 wanaonekana kushambulia zaidi kuliko Simba. Tayari wanafanikiwa kupata kona mbili. Simba wanakuwa kama wameridhika na bao moja, hawajafanya shambulizi hata moja, lakini wanapoteza muda sana
Simba inaongoza kwa bao 1-0 na sasa ni mapumziko mjini
Mbeya.
Beki Juuko Murshid ameifungia Simba bao katika dakika
ya 3 baada ya kuunganisha kona kwa kichwa kikali.
Mpira unavyoonekana ni mzuri, timu zinashambuliana kw
azamu ingawa Simba inatawala zaidi katikati ya uwanja.
Dk ya 1, Azam FC wanaanza kupeleka shambulizi lakini
Haji Mwinyi anapiga kichwa na kuokoa na John Bocco anauwahi na kumkanyaka Ngoma
kwa bahati mabaya.
0 COMMENTS:
Post a Comment