November 10, 2015


Charles Boniface Mkwasa amepanga kikosi chake kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Afrika Kusini U23 inayopigwa hivi punde kwenye Uwanja wa Eldorado jijini Johannesburg.

Kikosi cha timu hiyo ya vijana ya Afrika Kusini, kinanolewa na fowadi wa zamani wa Charlton Athletic ya England na timu ya taifa ya Afrika Kusini, Bafana Bafana, Shaun Bartlett.


Kikosi kitakachoanza leo:

1.   Aishi Manula
2.   Shomari Kapombe
3.   Haji Mwinyi
4.   Nadir Haroub
5.   Kelvin Yondani
6.   Jonas Mkude
7.   Simon Msuva
8.   Salum Abubabary
9.   John Bocco
10.Mrisho Ngassa
11. Farid Mussa


*Makubaliano, timu inaweza kubadilisha hata wachezaji 10. Lakini si kwa mara moja, angalau wawili, watatu na kuendelea.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic