November 10, 2015


Patrick Vieira ameingia mkataba wa kuifundisha New York City FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani maarufu kama Major League.


Mkataba huo mpya kwa Vieira aliyekuwa kocha wa timu ya vijana ya Manchester City unamfanya kuwa bosi mpya wa wachezaji wengine wakongwe, David Villa, Frank Lampard na Andrea Pirlo wanaokipiga New York City FC.


Mfaransa huyo aliyeng’ara akiwa na Arsenal anatarajia kuanza kazi rami Januari Mosi, mwakani.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic