December 19, 2015


Kocha Guus Hiddink pamoja na mmliki wa Chelsea Roman Abramovich wakiwa na gwiji, Didier Drogba wameishuhudia Chelsea ikirejea katika enzi za ushindi wakiwa jukwaani.

Chelsea imeshinda kwa mabao 3-1 dhidi ya Sunderland ikiwa ni mechi ya kwanza baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu, Jose Mourinho kufungashiwa virago.
Hiddink ndiye kocha mpya lakini wa muda wa Chelsea hadi hapo baadaye.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic