May 27, 2016


Waandishi wa habari na wasanii mbalimbali wameungana pamoja kusherekea siku maalum ya DStv ambayo imekuwa ikionyesha filamu za Kitanzania na Afirka kwa ujumla kupitia chaneli zake mbalimbali.

Ilikuwa sherehe fupi iliyojumuisha wafanyakazi wa Mulchoice Tanzania na ilibamba ile mbaya kwenye Hoteli ya kisasa ya New Africa jijini Dar es Salaam.









0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic