LeBron James amezidi kuonyesha ni mchezaji wa mpira wa kikapu anayezeeka na ufundi wake mkononi baada ya kuisaidia timu yake ya Cleveland Cavaliers kuibuka na ushindi wa pointi 112-97 dhidi ya Golden State Warriors, usiku wa kuamkia leo.
Ushindi huo unafanya matokeo ya mechi za fainali za NBA some hivi; 3-2, hivyo kuendeleza ushindani mkali zaidi.
0 COMMENTS:
Post a Comment