July 31, 2016




Unaweza kusema wamekutana tena! Kocha Brendan Rodgers na mshambuliaji Luis Suarez ambao walifanya kazi pamoja Liverpool tena kwa mafanikio makubwa.

Rodgers sasa ni Kocha wa Celtic ya Scotland na Suarez anakipiga Barcelona. 


Walikutana jana katika mechi ya kirafiki na Barcelona ikashinda kwa mabao 3-1, lakini hiyo haikuwazuia wao kukutana na kusalimiana.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic