Hadi mapumziko, kikosi cha Serengeti Boys kinachowavaa Shelisheli kilikuwa kinaongoza kwa mabao 2-0 katika mechi inayochezwa mjini Victoria, Shelisheli.
Serengeti tayari ilishaitandika Shelisheli kwa mabao 3-0 katika mechi ya kwanza kuwania kucheza Kombe la Mataifa Afrika kwa vijana chini ya miaka 17.
Mabao ya Serengeti yamefungwa na Asad Ali katika dakika ta 9 tu na Mohammed Abdallah aliyeachia mkwaju wa nguvu katika dakika ya 43.
Mabao ya Serengeti yamefungwa na Asad Ali katika dakika ta 9 tu na Mohammed Abdallah aliyeachia mkwaju wa nguvu katika dakika ya 43.
0 COMMENTS:
Post a Comment