August 7, 2016




Viongozi mbalimbali wa klabu ya Simba wakiongozwa na Rais wao, Evans Aveva wamefika katika eneo la Bunju jijini Dar es Salaam, kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa uwanja wao.


Ujenzi wa uwanja wa mazoezi wa Simba unaendelea katika eneo la Bunju jijini Dar es Salaam, Aveva aliwaongoza baadhi ya viongozi na wanachama kufanya ukaguzi huo, leo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic