Afrika
Mashariki bado ipo katika simanzi kutokana na kumpiteza kocha wa zamani wa
Simba, James Siang’a ambaye alifariki jana alfajiri nyumbani kwake Bungoma
nchini Kenya baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Siang'a |
Milovan |
Liewig |
Kerr |
Phiri |
Mayanja |
Kibadeni |
Loga |
Siang’a ambaye
enzi zake alipokuwa kicheza alikuwa kipa, anakumbukwa na wengi kutokana na
kuipa mafanikio makubwa Simba mwanzoni mwa miaka ya 2000. Tujikumbushe mara
baada ya Siang’a kuanz akazi Simba kisha kuondoka, kina nani walifuata baada
yake. Salehjembe inakukumbusha makocha hao na mtiririko wao ulivyokuwa mpaka
sasa:
MWAKA KOCHA URAIA
2001 James Siang’a Kenya
2005 Patrick
Phiri Zambia
2006 Neider
dos Santos Brazil
2007 Talib
Hilal Tanzania
2010 Milovan
Cirkovic Serbia
2010 Patrick
Phiri Zambia
2011 Krasmir
Benziski Bulgaria
2012 Moses
Basena Uganda
2012 Milovan
Cirkovic Serbia
2012 Partick
Liewing Ufaransa
2013 Abdallah
Kibaden Tanzania
2013/4 Zdravko Logarusic Croatia
2014 Patrick
Phiri Zambia
2015 Goran Kopunovic Serbia
2015 Dylan Kerr Serbia England
2016 Jackson Mayanja (care taker) Uganda
2016 Joseph
Omog Cameroon
0 COMMENTS:
Post a Comment