November 6, 2016


Mshambuliaji nyota wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang ambaye alisimamishwa katakana na utovu wa nidhamu amerejea kikosini na kuonyesha ni mtu hatari baada ya kupiga mabao manne katika ushindi wa 5-2.

Dortmund imeigaragaza Hamburg SV katika mechi kali ya Bundesliga na kuifanya timu kushinda mfululizo katika  mechi tano.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic