November 6, 2016


Bondia Manny Pacquiao amemtwanga mpinzani wake Jessie Vargas kwa pointi na kubeba ubingwa wa Welterweight wa WBO.

Pambano hilo lililofanyika mjini Las Vegas, Marekani lilishuhudiwa na mpinzani mkubwa wa Pacquiao, Floyd Mayweather ambaye alitangaza kustaafu akiwa amecheza mapambano 49 na kushinda yote.














0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic