November 3, 2016


Sweta walizovaa wachezaji wa Arsenal wakiwa kwenye picha ya kikosi, zimezua mjadala mkubwa hasa kwa mashabiki wao barani Asia.

Wengi hawakuelewa kuhusiana na sweta hizo, hasa baada ya wachezaji wa Arsenal kuonekana wakiwa na Kocha wao, Arsene Wenger wakiwa wametupia sweta hizo.

Wengi waliamini ni jezi mpya na kuanzisha mjadala mpana mtandaoni wakipinga lakini Arsenal kitengo kinachoshughulika na masuala ya masoko barani Asia, kimefafanua.


Kwamba hizo ni sweta maalum kwa ajili ya sikukuu na lengo ni ksuaidia watoto wenye matatizo baada ya mauzo yake.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic