November 6, 2016




DStv wamezindua chaneli ya filamu za Kiswahili ijulikanayo kama Maisha Magic Bongo.


Uzinduzi ulikuwa juzi na ulifana kutokana na wadau wa filamu wakiwemo viongozi mbalimbali wa Serikali kama Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Happy.










0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic