December 31, 2016



Unaweza kusema Wachina wameleta mambo, maana beki wa kati wa Real Madrid, Pepe naye anafikiria kwenda China.

Hii ni sikh chache baada ya Carlos Tevez kukamilisha usajili wa kwenda China na atakuwa akipokea euro million 30 kila msimu.

Taarifa zinaeleza, Pepe anafikiria kwenda China na kujiunga na moja ya timu zinazoshiriki Super League.

Wachina wanaonekana kuanza kuwachanganya wachezaji mbalimbali kupitia fedha zao.


Klabu za China zimekuwa zikiwalenga wachezaji mbalimbali maarufu kutoka barani Ulaya wakiwemo wale wazaliwa wa Amerika Kusini ambao wanacheza barani Ulaya.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic