Azam FC wanajua wana kazi ngumu Jumamosi dhidi ya Simbak, safari hii katika Ligi Kuu Bara.
Mara ya mwisho, waliwafunga Simba kwa bao 1-0 na kubeba Kombe la Mapinduzi. Lakini sasa ni ligi kuu.
Nahodha wa Azam FC, John Bocco amesema wanaendelea na mazoezi kwa kujituma wakijua kazi ni ngumu lakini wanachotaka ni kufanya vema.
0 COMMENTS:
Post a Comment