January 26, 2017



Azam FC wanajua wana kazi ngumu Jumamosi dhidi ya Simbak, safari hii katika Ligi Kuu Bara.

Mara ya mwisho, waliwafunga Simba kwa bao 1-0 na kubeba Kombe la Mapinduzi. Lakini sasa ni ligi kuu.


Nahodha wa Azam FC, John Bocco amesema wanaendelea na mazoezi kwa kujituma wakijua kazi ni ngumu lakini wanachotaka ni kufanya vema.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic