February 12, 2017



Mshambuliaji Mwabana Samatta ameendelea kung’ara nchini Ubelgiji baada ya kuifungia Genk katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya  Sint-Truiden.

Genk na Sint-Truiden ni majirani na wanapokutana kunakuwa na upinzani mkali.


Samatta aliyecheza kwa dakika zote 90 alifunga moja ya mabao hayo matatu mengine yakifungwa na Alejandro Pozuelo aliyefunga bao la kwanza katika dakika ya 37 na Rusian Malinovskiy.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic