February 4, 2017




Walinzi wa Uwanja wa Stamford Bridge walilazimika kuwazuia mashabiki kuendelea na zoezi na kupiga picha na Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger ambaye alikuwa jukwaani.


Wenger alikuwa jukwaani akitumikia adhabu ya mechi tatu kutokuwa katika benchi wakati Chelsea ikiitwanga Arsenal 3-1 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic