April 26, 2017


Si vibaya kusema ni habari mbaya kwa mashabiki wa Manchester United kwa kuwa kiungo wao, Paul Pogba ataikosa mechi ya wapinzani wao wakubwa Manchester City, kesho.

Kocha Mkuu wa Man United, Jose Mourinho amethibitisha kwamba mambo si mazuri.


Mourinho amesema imeshindikana kwa Pogba kupona haraka maumivu ya njama za nyuma za paja alizoumia.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic