April 12, 2017







Yanga inaondoka kesho saa 12 jioni kwenda Algeria ikipitia Dubai.

Yanga inakwenda kucheza mchezo wa pili wa Kombe la Shirikisho dhidi ya MC Alger ambayo ilikubali kipigo cha bao 1-0 jijini Dar.

Kitakuwa kikosi cha watu 20 bila ya mshambuliaji hatari Obrey Chirwa ambaye imeelezwa ana matatizo ya kifamilia.


Wachezaji wengi wanaokosa mechi hiyo ni Ally Mustapha 'Barthez', Pato Ngonyani, Justine Zulu, Yusuf Mhilu na Anthony Matheo.

TAARIFA YA YANGA KUHUSIANA NA KIKOSI KIZIMA KINACHOKWENDA ALGERIA, HII HAPA.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic