May 27, 2017


Kiungo wa Simba, James Kotei amekuwa mchezaji bora wa mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho.

Katika mechi hiyo, Simba imeshinda kwa mabao 2-1 na kubeba ubingwa.


Kotei alicheza namba nne na kuonyesha kiwango cha juu kabisa katika mchezo huo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic