July 22, 2017


Taifa Stars imetolewa nje katika michuano ya kuwania kucheza Chan.

Stars imetolewa baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya Rwanda katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Amahoro jijini Kigali.

Kwa kuwa Stars na Rwanda zilitoka sare ya bao 1-1, mjini Kirumba hivyo Rwanda inasonga mbele .

1. Aishi Manula
2. Boniphace Maganga
3. Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Salim Mbonde
6. Himid Mao
7. Simon Msuva
8. Mzamiru Yassin
9. John Bocco
10. Raphael Daudi
11. Shiza Kichuya

Kikosi cha akiba

12. Said Mohamed 
13. Hassan Kessy 
14. Nurdin Chona
15. Salimin Hoza
16. Said Ndemla 
17. Joseph Mahundi 

18. Stamili Mbonde

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic