TASWIRA MWONEKANO WA NDANI KATIKA CHUMBA CHA MKUTANO MAALUM WA WANACHAMA WA SIMBA Mkutano maalum wa mabadiliko wa klabu ya Simba umeanza katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere huko Posta jijini Dar es Salaam. Hii ndiyo taswira ilivyo ndani ya ukumbi huo, wanachama hao wakiendelea na mjadala huo kwa sasa.
0 COMMENTS:
Post a Comment