September 19, 2017



Beki wa zamani wa Man United, Rio Ferdinand ameamua kuwa mwanamasumbwi.

Ferdinand ambaye ni raia wa England mwenye asili ya Jamaica ameamua kujifua hadi atakapofikia vigezo vya kuwa mwanamasumbwi wa kulipwa.

Beki huyo ameanza mazoezi lakini lengo lake ni kuishawishi bodi ya ngumi za kulipwa kumpa kibali.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic