ARSENAL WAFANYA MAZOEZI YA MWISHO KUWAVAA DONCESTER, SANCHEZ YUKO FITI Arsenal wameendelea kujifua kwenye Uwanja wao wa nyumbani katika eneo la Colney nje ya jiji la London. Arsenal imefanya maandalizi yake ya mwisho leo na kesho watakuwa kwao Emirates kuwavaa Doncester katika mechi ya Kombe la Ligi.
0 COMMENTS:
Post a Comment