October 23, 2017



Kipa mkongwe wa Juventus, Gianluigi Buffon ametangazwa kuwa kipa bora katika tuzo za Fifa zinazoendelea jijini London.

Buffon ameibuka na ushindi katika tuzo ya kipa bora akiwangusha Keylor Navas wa  Real Madrid ambao ni mabingwa wa Ulaya na Manuel Neuer wa Bayern Munich.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic