February 18, 2018



Mabingwa wa Soka Tanzania, Yanga tayari wametua nchini Shelisheli kwa ajili ya mechi yao ya marejeo dhidi ya St Loiuis.

Katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga ilishinda kwa bao 1-0.


Kikosi hicho kipo tayari ugenini nchini Shelisheli na kiliondoka Dar es Salaam kupitia Nairobi, Kenya,

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic