Na George Mganga
Kipigo kimekuja mara baada ya mechi ya awali kwenda suluhu ya 0-0, mechi ikipigwa katika Uwanja wa Amani, huko Zanzibar.
Katika mchezo huo, Zikiru Adams amecheka na nyavu za JKU mara 4, akifunga kipindi cha kwanza mawili na cha pili mawili.
Duuh
ReplyDelete