March 2, 2018


Na George Mganga

Droo ya upangaji wa timu zitakazokuwa zinacheza hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho imefanyika asubuhi ya leo katika makao makuu ya Azam Tv yaliyopo Tabata, Dar es Salaam.

Upangaji huo ulihusisha timu nane ambazo ziliingia hatua ya robo fainali ya mashindano hayo, timu hizo ni Yanga, Stand United, Azam FC, JKT Tanzania, Mtibwa Sugar, Singida United, Njombe Mji na  Tanzania Prisons.

Baada ya droo kupangwa, timu zitakozokutana katika hatua hii ni hizi

Singida United v Yanga
Tanzania Prisons v JKT Tanzania
Azam FC v Mtibwa Sugar
Stand United v Njombe Mji


3 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic