Ushindi umekuwa ikiwa ni siku kadhaa Wenger kutangaza kuwa ataondoka na kukiacha kikosi hicho baada ya msimu huu kumalizika.
Mabao ya Arsenal yamefungwa na Monreal, Ramsey na Lacazette aliyeingia kambani mara mbili, huku bao pekee na West Ham likitiwa kimiani na Arnautovic.








0 COMMENTS:
Post a Comment