May 8, 2018


Beki wa klabu ya Arsenal, Laurent Koscielny, atakosekana nje ya dimba kwa muda wa miezi 6 baada ya kuumia mguu.

Koscielny aliumia mguu wake katika mchezo wa mkondo wa pili wa hatua ya nusu fainali katika UEFA Europa League dhidi ya Atletico de Madrid uliopigwa nchini Spain Alhamis ya wiki iliyopita.

Bei huyo ameumia zikiwa zimesalia wiki kadhaa tu kabla ya michuano ya Kombe la Dunia kuanza huko Russia.

Kwa mujibu wa Kocha wa timu ya Taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps, amesema kuwa mchezaji huyo atakosa rasmi michuano ya Kombe la Dunia inayotaraji kuanza mwezi ujao huko Russia.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic