May 26, 2018

Manchester United wana nia ya kuipa Real Madrid ofa ya pauni milioni 70 kwa kiungo wake wa safu ya kati raia wa Uhispania mwenye miaka 26 Isco. (Mundo Deportivo - in Spanish)
Mshambulizi wa Chelsea Michy Batshuayi anasema hawezi kuamua hadi baada ya kombe la dunia ikiwa atarudi Stamford Bridge. Rais huyo wa Ubelgiji mwenye umri wa miaka 24 alitumikia duru ya pili ya msimu uliopita kwa mkopo huko Borussia Dortmund.(Evening Standard)
Tottenham itaiomba Manchester United mshambuliaji raia wa Ufaransa Anthony Martial 22, ikiwa mlinzi raia wa Ubelgiji Toby Alderweireld, 29 atahamia Tottenham.
Chelsea inaweza kumtoa mshambulili raia wa Uhuspania Alvaro Morata 25, kwa Inter Milan ili kumdilisha na mshambulizi raia wa Argentina Mauro Icardi, 25. (Il Messaggero, via Mail)
Arsenal na Chelsea watapata ushindani kutoka Napoli na Borussia Dortmund kumpata kiungo wa kati wa Nice na Ivory Coast Jean-Michael Seri, 26. (Sun)
Maajenti wa Marco Asensio wanasema Real Madrid wamekataa ofa mbili kutoka klabu za Premier League za thamani ya hadi pauni milioni 130 kwa mshambulizi mhispania mwenye miaka 22 ambaye amehusishwa na Manchester United na Chelsea. (Independent)
West Ham wako nafasi nzuri kumsaini mlinzi wa Barcelona Marlon. Mbrazili hiyo wa miaka 22 ambaye anacheza kwa mkopo wa miaka miwili na klabua Nice pia anawindwa na Leicester. (Mundo Deportivo - in Spanish)

Kutoka BBC

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic