September 20, 2018



Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya imeshika moto tena usiku wa jana kwa mechi 8 kupigwa.

Katika mitanange hiyo, klabu za Juventus, Real Madrid, Manchester United, Bayern na Ajax zimeibuka na ubabe.

Wakati huo Manchester City imeendelea kuwa kibonde kwenye mashindano haya kwa kukubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Lyon ikiwa nyumbani.

Matokeo kamili haya hapa




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic