VIDEO: RAIS TFF AKIRI KUIBEBA YANGA, HUYU HAPA ANAFUNGUKA “Timu iliyonufaika zaidi na uongozi wangu ni Yanga – Kauli ya Rais wa TFF, ashindwa kunyoosha maelezo kuhusu ‘usimba’ wake, asema yeye ni mwanachama wa Coastal Union.
pumbavu sana huyu rais wa TFF badala ya kusimamia kanuni anafanya mambo kwa ajili ya kunufaisha watu wachache
ReplyDeleteM2 kabla ajanawa wala kupiga mswaki, anaamkia matusi. Kweli bongo vichaa wengi.
ReplyDelete