WACHEZAJI STARS WALIOIKOSA SAFARI YA CAPE VERDE SABABU YA KUWA MAJERUHI HAWA HAPA
Wakati kikosi cha Taifa Stasr kikiondoka alfajir ya leo kuelekea Cape Verde kwa ajili ya kuwania tiketi ya kufuzu kucheza AFCON 2019, baadhi ya wachezaji wamesalia nchini.
Wachezaji hao wameshindwa kuungana na wenzao kutokana na kupatwa na majeraha ambayo yamesababisha wasiwe kwenye msafara wa safara hiyo.
Orodha ya wachezaji waliobaki ni:-
Salum Kihimbwa (Mtibwa Sugar)
Kelvin Sabato (Mtibwa Sugar)
Andrew Vincent (Yanga)
Jonas Mkude (Simba)
Mohammed Abdulrahman (JKT Tanzania)
Frank Domayo (Azam FC)
Nacheka na Sabato, aliloooonga baada ya Bocco kuachwa first match vs Uganda, kibao kimegeuka, wachezaji wetu wajifunze kuhifadhi maneno!
ReplyDelete