November 17, 2018


Tatizo la umaliziaji kwa nafasi ambazo wanazipata bado limeendelea kuwamaliza Simba kwa kuwa walifanikiwa kuwa na umiliki wa mpira na kufanya mashambulizi ya hapa na pale katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Nyasa Big Bullets ya kutoka Malawi.

Mchezo huo uliochezwa katika uwanja wa Taifa wa Dar es Salaam leo, umemelizika kwa timu zote kutoona lango la mpinzani na kufanya takwimu.

2 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic