YANGA YAPATWA NA PIGO
Klabu ya Soka ya Yanga imepata pigo baada ya kuondokewa na mchezaji wake wa zamani na Taifa Sstars, Hassan Goebles ‘Gobbos’ ambaye amefariki dunia leo Alhamisi, Januari 17, 2019, asubuhi.
Kwa mujibu wa mtoto wa marehemu, Ibrahim Hassan, mipango ya maziko inafanyika nyumbani kwake Sinza Mori jirani na Big Bon ambapo Mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho baada ya Swalat Ijumaa katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni jijini Dar.
0 COMMENTS:
Post a Comment