February 28, 2019


Hizi hapa mechi za ugenini kwa Simba katika Ligi Kuu Tanzania Bara

Machi 3

Vs Stand United- Kambarage, Shinyanga



Aprili 6

Vs KMC – Taifa, Dar



Aprili 15

Vs Coastal Union-Mkwakwani, Tanga  



Aprili 19

Vs Kagera Sugar- Kaitaba, Bukoba



Aprili 22

Vs Alliance- CCM Kirumba, Mwanza



Aprili 25

Vs Biashara- Karume, Musoma



Aprili 30

Vs Prisons- Sokoine, Mbeya



Mei 22

Vs Singida Utd- Namfua, Singida



Mei 3

Vs Mbeya City – Sokoine, Mbeya



Mei 26

Mtibwa Sugar- Jamhuri, Morogoro

5 COMMENTS:

  1. Kwan round ya Kwanza Simba alicheza wapi na Coast??

    ReplyDelete
    Replies
    1. Simba na Coastal Union hawajacheza round ya kwanza.

      Delete
  2. Mimi nakumbuka mchezo wao na Simba wakwanza ulichezwa katika kiwanja cha Mkwakwani nyumbani kwao Costal na huko wakachapwa nakumbuka 2. Kwani kamaa hawana kumbukumbu?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Aliyefungwa bao 2 ni JKT Mkwakwani siyo Coastal. Hawajacheza kama ilivyo kwa Mtibwa, Kagera nadhani na Biashara pia.

      Delete
  3. Simba bado hawajacheza na coastal hata mechi moja mcmu huu

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic