March 30, 2019


Kikosi cha Yanga kitakachoanza dhidi ya Alliance, mechi ya Kombe la Shirikisho

1. Klaus Kindoki
2. Paul Godfrey
3. Simon Gustavo
4. Said Makapu
5. Kelvin Yondani
6. Feisal Salum
7. Mrisho Ngassa
8. Papy Tshishimbi
9. Heritier Makambo
10. Amiss Tambwe
11. Pius Buswita

Kikosi cha akiba

12. Ibrahim Hamidu
13. Mohamedd Jafarry
14. Thaban Kamusoko
15. Raphael Daudi
16. Haruna Moshi Boban
17. Andrew Vincent
18. Deusi Kaseke

4 COMMENTS:

  1. Yanga wamepigwa fine mara mbili kwa kupitia milango isiyo rasmi ikiwa ni tuhuma za kishirikina . Kwa kikosi chao cha leo hata kama watatoa sare nitaanza kuamini kidogo kidogo kuwa uchawi katika mpira unaweza ukawepo

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ulifikiri haupo? Timu isingekuwa imefungwa 5 Misri au Congo eti baadae unashinda 1 DSM

      Delete
  2. Yanga imewahi kupigwa fine mara mbili kwa kupitia milango isiyo rasmi kwa tuhuma za kishirikina . Kwa kikosi chao cha mechi ya leo kama hata watatoa sare tu nitaamini kuwa uchawi michezoni upo

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic